• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Historia

1.0.HISTORIA FUPI YA  WILAYA:                                                               
Wilaya ya Kilolo ilianzishwa mwaka 2005 kwa tangazo la serikali Na.220 baada ya kugawanywa toka wilaya ya Iringa. Hivyo kwa kipindi cha mwaka 1961-2005 Wilaya ya Kilolo ilikuwa ni sehemu ya Kata na Tarafa za Wilaya ya Iringa.

1.1.Mahali  Wilaya ilipo
  Wilaya ya Kilolo ipo kati ya nyuzi za Latitude 70 – 8.30 Kusini mwa mstari  wa Ikweta na nyuzi Longitude 340 – 370 Mashariki mwa mstari wa “Greenwhich”. Wilaya imepakana na Wilaya ya Mpwapwa (Dodoma) upande wa Kaskazini,  Wilaya ya Kilosa kwa upande wa Kaskazini Mashariki na Wilaya ya Kilombero kwa upande wa Mashariki katika Mkoa wa Morogoro.Kwa upande wa Kusini ni Wilaya ya Mufindi wakati upande wa Magharibi imepakana na Wilaya ya Iringa (Vijijini).

1.2.Eneo la  Wilaya
Wilaya ya Kilolo ina eneo lenye ukubwa wa jumla ya km2 7,882  Wastani wa asilimia 86.32 ya eneo hili linafaa kwa shughuli za kilimo ambalo ni sawa na km2  6803.2   Eneo linalobakia la km2 1077.8 ni eneo la maji, hifadhi ya mbuga za wanyama, milima na misitu.

2.1Utawala
Wilaya ya Kilolo imegawanyika katika Tarafa tatu ambazo ni Kilolo, Mazombe na Mahenge.  Aidha  Wilaya ina Kata 24 na Vijiji 94, Mitaa 16 katika mamlaka ya mji mdogo  Ilula na vitongoji 499

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za kazi Watendaji wa kijiji,Madereva na Makatibu Muhtasi May 25, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi July 26, 2021
  • MWALIKO WA KUHUDHURIA BARAZA LA KAWAIDA LA MADIWANI TAREHE 09/02/2022 February 08, 2022
  • MWALIKO WA KUHUDHURIA BARAZA LA KAWAIDA LA MADIWANI TAREHE 09/02/2022 February 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MRADI WA ELIMU WA VILABU YA KUJISOMEA (READING CLUBS PROJECT) WA CHUO KIKUU CHA AGAKHAN, TAASISI YA MAENDELEO YA ELIMU AFRIKA MASHARIKI WILAYA YA KILOLO NA IRINGA.

    November 21, 2021
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO YANG'ARA KATIKA MAONYESHO YA NANENANE 2017

    August 11, 2017
  • JUKWAA LA UWEZESHAJI KIUCHUMI KWA WANAWAKE NGAZI YA WILAYA LA ZINDULIWA

    May 18, 2017
  • Mh.JAFO SULEIMAN SAID AKIKAGUA UJENZI WA MAJENGO YA HOSPITALI YA WILAYA YA KILOLO UNAVYOENDELEA

    May 16, 2017
  • Angalia zote

Video

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa akitoa ujumbe wa mwenge 2017
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa